القرآن الكريم المصحف الإلكتروني إذاعات القرآن صوتيات القرآن البطاقات الإسلامية فهرس الموقع

Swali: 42- Dua kwa mtu atakayehofia kukipa kijicho kitu.

Imekuja katika hadithi: "Atakapoona mmoja wenu kwa ndugu yake au kwake mwenyewe, au katika mali yake chenye kumstaajabisha, [Basi na akiombee baraka] kwani kijicho ni kweli (kipo)" Kaipokea Ahmadi na bin Maaja.