English Français Español Русский العربية português हिन्दी বাংলা اردو More languages▾ Site Index

Swali: 28- Ni upi wajibu wetu mbele ya wasimamizi wa mambo ya waislamu?

Jawabu: Wajibu wetu: Ni kuwaheshimu na kusikiliza na kuwatii katika mambo ambayo si maasi, na kutojitoa katika uongozi wao kwa kuwapinga, na kuwaombea dua na kuwapa nasaha kwa siri.