English Français Español Русский العربية português हिन्दी বাংলা اردو More languages▾ Site Index

Swali: 39- Ni wakati gani matendo yanakuwa yamekubalika kwa Mwenyezi Mungu Aliyetakasika na ?

Jawabu: kwa sharti mbili:

1- Yatakapokuwa halisi kwa ajili ya kutaka radhi za Mwenyezi Mungu Mtukufu.

2- Na yatakapokuwa katika mafundisho ya Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake.