English Français Español Русский العربية português हिन्दी বাংলা اردو More languages▾ Site Index

Swali: 17- Hukumu ya swala.

Jawabu: Swala ni lazima kwa kila muislamu

Amesema Allah Mtukufu: "Hakika swala kwa waumini ni faradhi iliyowekewa muda maalumu". [Surat Nisaa: 103]