English Français Español Русский العربية português हिन्दी বাংলা اردو More languages▾ Site Index

Swali: 21- Alikuwa akiwalingania vipi Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake watu nje ya Makka?

Jawabu: Alikuwa akiwalingania watu wa Twaifu, na akijitokeza kwao katika misimu mbali mbali na sehemu za mikusanyiko ya watu, mpaka akawaendea watu wa Madina miongoni mwa wale waliomtetea (Maanswari), wakamuamini Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake, na wakampa ahadi ya kumnusuru.