English Français Español Русский العربية português हिन्दी বাংলা اردو More languages▾ Site Index

Swali: 20- Unasema nini wakati wa kulala?

Jawabu: "Bismikallaahumma amuutu wa ahya" Yaani: Kwa jina lako Mola wangu ninakufa, na ninakuwa hai. Wamekubaliana Bukhari na Muslim.