English Français Español Русский العربية português हिन्दी বাংলা اردو More languages▾ Site Index

Swali: Nini maana ya Sub-haanallaah (Ametakasika Mwenyezi Mungu?

Jawabu: Ni tasbihi (kumtukuza Mwenyezi Mungu) nako ni kumtakasa yeye aliyetakasika na kutukuka kutokana na kila pungufu na aibu na ovu.