English Français Español Русский العربية português हिन्दी বাংলা اردو More languages▾ Site Index

Swali: 20- Nini maana ya Laa haula walaa quwwata illa billah (Hapana ujanja wala nguvu isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu)?

Jawabu: Hakuna ujanja kwa mja wa kutoka hali moja kwenda hali nyingine, na wala hana nguvu juu ya hilo isipokuwa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu.