English Français Español Русский العربية português हिन्दी বাংলা اردو More languages▾ Site Index

Swali: 3- Ni ipi hukumu ya kuuza na miamala?

Jawabu: Asili katika biashara zote na miamala yote ni halali, isipokuwa baadhi ya aina ambazo kaziharamisha Mwenyezi Mungu Mtukufu.

Amesema Allah Mtukufu: "Na amehalalisha Mwenyezi Mungu biashara na akaharamisha riba" [Suratul Baqara: 275].